Tuesday, January 3, 2012

TUWAKUMBUKE NA HAWA

Watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika kituo cha SIYAWASA wakiimba walipotembelewa na wafanyakazi wa  Radio 5 siku ya Christmas.
 Hajji Ramadhani akitoa neno kwa niaba ya Radio 5 walipotembelea kituo hicho.
Philip  Magese akiwa na mtoto aliyejulikana kama Mussa,Mtoto huyu aliokotwa akiwa na miezi 3 na sasa an miaka mitano.


Meneja miradi,bi.Pili akiwa na watangazaji Semio Sonyo na Ashura wakati walipotembelea kituo hicho.







Wafanyakazi wa Radio 5 wakikabidhi msaada wa vyakula  kwa mlezi wa kituo hicho,anayekabidhi ni afisa masoko bi.Sarah Lazaro.









                                                   



No comments: