Tuesday, January 17, 2012

KWAHERI


 Jeneza lililobeba mwili wa aliyekuwa mbunge wa viti maalum Regia mtema ukiingizwa  viwanja vya karimjee leo.



 Waombolezaji wakiangalia mwili wa Regia ulipokuwa ukiingizwa  katika eneo maalumu kwa  ajili ya kuagwa leo. Marehemu amesafirishwa leo kwenda morogoro na kesho utazikwa kwao huko ifakara...Sikiliza Radio 5 na ueendelee kutembelea na blog yetu kwa taarifa zaid.



 Baadhi ya viongozi wa kiserikali wakiongozwa na  makamu wa rais ,wakiwa  katika shughuli ya kuaga mwili wa Regia Mtema.
 Waombolezaji wakipita mbele ya mwili wa  marehemu Regia mtema..

No comments: