Arsenal wanawaalika Manchester United leo katika uwanja wa Emirates...Man u wanataka kuendeleza ubabe baada ya kichapo cha 8-2 walichokitoa kwa Arsenal mwezi August wakati Arsenal wanataka kulipa kisasi.Tusubiri tuone kuanzia saa1;00 za Afrika Mashariki.....Ni machozi, Jasho na Damu

No comments:
Post a Comment