Tuesday, January 24, 2012

MAZISHI YA SUMARI

Rais Jakaya Kikwete akiweka shada la maua kweye kaburi la aliyekuwa mbunge wa Arumeru mashariki Jeremiah Solomon Sumari.
 Spika wa bunge Anne Makinda akiweka shada la muda  katika kaburi la mh Sumari jana kijijini kwao Akeri.
Waziri mkuu mh. Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Jeremiah Sumari Jana  muda mfupi kabla ya mazishi.

Picha  na David Rwenyagira.


No comments: