Saturday, January 28, 2012

Radio 5 na Unicef katika kongamano la Watoto


Radio 5 kwa kushirikiana na shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia watoto UNICEF na shirika la Mkombozi  kwa pamoja tumeadhimia kusaidia watoto wanaishi katika mazingira hatarishi
Watoto wanaounda Mtandao wa wanahabari watoto Tanzania kutoka mikoa ya Kilimanjaro na Arusha wakiwa katika semina iliyofanyika ofisi za Radio 5 zilizoko Arusha.



 Baadhi ya watoto waliohudhuria  waliohudhuria kongamano hilo lilofanyika katika ofisi za radio 5
 Watoto waliohudhuria mafunzo hayo wakipata kifungua kinywa.
 Watoto waliohudhuria mafunzo hayo wakiwa  na watangazaji wa radio mbali mbali,aliyevaa shati jeupe ni Deo kutoka Radio Sauti ya injili moshi.

No comments: