Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisaini kitabu cha maombolezo alipofika kwenye msiba wa Mbunge wa Jeremiah Sumari nyumbani kwake.Pembeni yake ni spika wa bunge na waziri mkuu mstaafu Mh.Edward Lowasa.
Rais Jakaya Kikwete akiwafariji wafiwa katika msiba huo.
Rais Jakaya Kikwete akiwa na Spika wa bunge Anne Makinda na Waziri mkuu mstaafu Edward Lowasa Nyumbani kwa marehemu Mbezi beach jana.
Makamu wa Rais Dr Gharib Bilal,akisaini ktabu cha waombolezaji jana alipokwenda kuwafariji wafiwa.
Makamu wa rais akisalimiana na watoto wa marehemu jana nyumbani kwao.
Makamu wa rais akiongea na mke wa marehemu mama Miriam Sumari nyumbani kwake jana. Mwili wa mbunge Jeremia Sumari aliyefariki usiku wa kuamkia jana utazikwa jumatatu Arumeru mkoani Arusha.






No comments:
Post a Comment