Saturday, March 10, 2012

KASRI LA SPIKA

Hili ni jumba jipya la spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania ambalo limegharimu  shilingi bilioni 1.5.Jumba hilo limejengwa  katika eneo la uzunguni njekidogo ya mji wa dodoma.







CHADEMA WAZINDUA KAMPENI ARUMERU

 Mbunge wa Arusha mjini God bless Lema  akiwa amebebwa  nawafuasi wa Chama hicho alipowasili  Arumeru
 Wafuasi wa Chadema wakielekea  eneo la mkutano kwa ajili ya uzinduziwa kampeni za ubunge za jimbo la Arumeru Mashariki
Msafara wa  wafuasi wa chama hicho ukiongozwa  na pikipiki  ukielekea eneo la kampeni




No comments: